habari

MATANGAO

Sunday, October 7, 2012

EDWARD CHRISTOPHER, AKIPIGA MBILI LEO MWENYE MARASTA
KIKOSI CHA SIMBA SPORT CLUB.


SIMBA SC imezidi kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kufuatia  ushindi wa mabao 4-1 ilioupata jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam dhidi ya JKT Oljoro ya Arusha, ambayo ilimaliza pungufu ya wachezaji wawili baada ya kipa wake Shaibu Issa na mshambuliaji Meshack Nyambele kutolewa kwa kadi nyekundu kipindi cha pili.

No comments:

Post a Comment