habari

MATANGAO

Sunday, March 10, 2013


Simba sport club leo wamewafunga  coastal union 2-1katika uwanja wa taifa jioni hii  wakati huo azam fc ikfanya mambo yake na simba sport club inakaribia kuwafikia azam tazama kwa picha zaidi hapa.

Simba sport club leo wamewafunga  coastal union 2-1katika uwanja wa taifa jioni hii  wakati huo azam fc ikfanya mambo yake na simba sport club inakaribia kuwafikia azam tazama kwa picha zaidi hapa.

Wednesday, February 13, 2013


TIMU YA YOUNG AFRICAN SPORT CLUB LEO IME WAFUNGA AFRCAN LYON KATIKA UWANJA WA TAIFA,MSHAMBULIA JERRY TEGETE LEO KATIKA UWANJA WA TAIFA KAFUNGA MAWILI PEKEEYAKE WAKATI YONG AFRICAN IKIUWA 4-0....
TIMU YA YOUNG AFRICAN SPORT CLUB LEO IME WAFUNGA AFRCAN LYON KATIKA UWANJA WA TAIFA,MSHAMBULIA JERRY TEGETE LEO KATIKA UWANJA WA TAIFA KAFUNGA MAWILI PEKEEYAKE WAKATI YONG AFRICAN IKIUWA 4-0....

Monday, February 4, 2013


katika hii picha za taifa stars wakiwa wakijiandaa na mazoezi katika uwanja uliopo dar-es-salaam,wachezaji wote wapo MRISHO KHALFAN NGASSA,MBWANA ALLY SAMATA,THOMAS ULIMWENGU,na wengine.
katika hii picha za taifa stars wakiwa wakijiandaa na mazoezi katika uwanja uliopo dar-es-salaam,wachezaji wote wapo MRISHO KHALFAN NGASSA,MBWANA ALLY SAMATA,THOMAS ULIMWENGU,na wengine.

Sunday, January 27, 2013


Taarifa ya michezo kutoka Tanzania Dar-es-salaam,leo Young African Sport Club ime endelea na ubabe wake wa magoli hatari sana katika u wanja wa Dar-es-salaam  young african sport club imeshinda magoli 3-1leo hii,magoli hayo ya kifungwa na Jerry Tegete na Simon Msuva,tazameni picha hapo chini........
Taarifa ya michezo kutoka Tanzania Dar-es-salaam,leo Young African Sport Club ime endelea na ubabe wake wa magoli hatari sana katika u wanja wa Dar-es-salaam  young african sport club imeshinda magoli 3-1leo hii,magoli hayo ya kifungwa na Jerry Tegete na Simon Msuva,tazameni picha hapo chini........