Simba sport club leo wamewafunga coastal union 2-1katika uwanja wa taifa jioni hii wakati huo azam fc ikfanya mambo yake na simba sport club inakaribia kuwafikia azam tazama kwa picha zaidi hapa.

Simba sport club leo wamewafunga coastal union 2-1katika uwanja wa taifa jioni hii wakati huo azam fc ikfanya mambo yake na simba sport club inakaribia kuwafikia azam tazama kwa picha zaidi hapa.
TIMU YA YOUNG AFRICAN SPORT CLUB LEO IME WAFUNGA AFRCAN LYON KATIKA UWANJA WA TAIFA,MSHAMBULIA JERRY TEGETE LEO KATIKA UWANJA WA TAIFA KAFUNGA MAWILI PEKEEYAKE WAKATI YONG AFRICAN IKIUWA 4-0....

TIMU YA YOUNG AFRICAN SPORT CLUB LEO IME WAFUNGA AFRCAN LYON KATIKA UWANJA WA TAIFA,MSHAMBULIA JERRY TEGETE LEO KATIKA UWANJA WA TAIFA KAFUNGA MAWILI PEKEEYAKE WAKATI YONG AFRICAN IKIUWA 4-0....
katika hii picha za taifa stars wakiwa wakijiandaa na mazoezi katika uwanja uliopo dar-es-salaam,wachezaji wote wapo MRISHO KHALFAN NGASSA,MBWANA ALLY SAMATA,THOMAS ULIMWENGU,na wengine.
katika hii picha za taifa stars wakiwa wakijiandaa na mazoezi katika uwanja uliopo dar-es-salaam,wachezaji wote wapo MRISHO KHALFAN NGASSA,MBWANA ALLY SAMATA,THOMAS ULIMWENGU,na wengine.
Taarifa ya michezo kutoka Tanzania Dar-es-salaam,leo Young African Sport Club ime endelea na ubabe wake wa magoli hatari sana katika u wanja wa Dar-es-salaam young african sport club imeshinda magoli 3-1leo hii,magoli hayo ya kifungwa na Jerry Tegete na Simon Msuva,tazameni picha hapo chini........
Taarifa ya michezo kutoka Tanzania Dar-es-salaam,leo Young African Sport Club ime endelea na ubabe wake wa magoli hatari sana katika u wanja wa Dar-es-salaam young african sport club imeshinda magoli 3-1leo hii,magoli hayo ya kifungwa na Jerry Tegete na Simon Msuva,tazameni picha hapo chini........